Mh Medard Kalemani | |
Waziri wa Nishati
| |
Muda wa Utawala 7 October 2017 – 2020 | |
Aliingia ofisini November 2015 | |
tarehe ya kuzaliwa | 15 March 1968 |
---|---|
utaifa | Mtanzanaia |
chama | CCM |
mhitimu wa | Chuo Kikuu cha Dar es Salaam |
Medard Matogolo Kalemani (amezaliwa 15 Machi 1968) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Chato kuanzia mwaka 2015 hadi 2020. [1]