Medard Matogolo Kalemani

Mh Medard Kalemani


Waziri wa Nishati
Muda wa Utawala
7 October 2017 – 2020

Aliingia ofisini 
November 2015

tarehe ya kuzaliwa 15 March 1968
utaifa Mtanzanaia
chama CCM
mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

Medard Matogolo Kalemani (amezaliwa 15 Machi 1968) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa Mbunge wa Chato kuanzia mwaka 2015 hadi 2020. [1]

  1. Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017

Developed by StudentB